Category: Uncategorized
UNICEF: Covid huenda ikasababisha mamilioni ya ndoa zaidi za utotoni
“Kufungwa kwa shule, msongo wa kiuchumi, kuvurugwa kwa huduma na vifo vya wazazi kutokana na janga la Covid-19 vinawaweka wasichana…
Meghan Markle aungwa mkono kuibuwa ubaguzi kwenye Ufalme wa Uingereza
Bingwa wa mpira wa tennis duniani, Serena Williams, na mshairi Amanda Gorman wamekuwa miongoni mwa watu wa kwanza kuonesha uungaji…
Kesi dhidi ya Chauvin yaanza kusikilizwa
Hatimaye kesi dhidi ya aliyekuwa afisa wa polisi Dereck Chauvin inaanza kusikilizwa hii leo nchini Marekani, ikiwa ni karibu mwaka…
Thembi Nkambule: Mwanamke mwenye ukimwi anayewasaidia wengine 'kufa kifo kizuri'
Dakika 5 zilizopita Chanzo cha picha, SHALI REDDY Thembi Nkambule amekuwa akiwahudumia mamia ya watu wanaofariki kutokana na Ukimwi Eswatini…
Mahojiano ya Oprah: Mke wa mwanamfalme Harry , Meghan Markle 'hakutka kuwa hai'
Dakika 4 zilizopita Mke wa mwanamfalme huyo, Meghan Markle amesema wakati mwingine alipata maisha kuwa magumu sana katika familia ya…
Kura ya maoni Uswizi: Wapiga kura waunga mkono marufuku ya kuvaa hijabu
Dakika 7 zilizopita Chanzo cha picha, EPA Maelezo ya picha, Mabango yaliowqekwa na na chama cha Swiss Peoples Party yalimuonesha…
Mlipuko mkubwa Equatorial Guinea: Watu 15 wadaiwa kufariki
Dakika 4 zilizopita Chanzo cha picha, Sources Watu takriban 15 wamefariki dunia huku wengine zaidi ya 100 wakipata majeraha katika…
Tetesi za soka Ulaya Jumatatu 08.03.2021: Salah, Brownhill, Gerrard, Christensen, McCormick, Hamsik
Dakika 5 zilizopita Chanzo cha picha, PA Media Liverpool inapaswa kumuuza mshambuliaji wa Misri Mohammed Salah iwapo hafurahii kuwa katika…
Muungano wa kijeshi nchini Yemen wafanya mashambulio dhidi ya waasi wa Houthi
Muungano huo ulifanya mashambulio hayo ya kulipiza kisasi baada ya msururu wa mashambulizi yaliofanywa na kundi hilo la waasi kwa…
Rais wa Nigeria na Makamu wake wapatiwa chanjo ya Covid 19
Rais wa Nigeria Muhammadu Buhari na makamu wake Yemi Osibanjo wamekuwa watu wa kwanza kupatiwa chanjo ikiwa ni njia ya…